Watch videos with subtitles in your language, upload your videos, create your own subtitles! Click here to learn more and view tutorials on "how to dotSUB"

Welcome to dotSUB!

Any Video Any Language


Here you can view, upload, transcribe and translate any video into any language. To create your own subtitles, click the button below and register.


Enterprise Solutions


dotSUB's Enterprise Solutions are a cost-effective platform for managing high-quality subtitles at scale, deploying them to video players and mobile devices, and providing interactive transcripts for enhanced SEO.


Who Uses dotSUB?

Language Services

Translation CMS

Captioning Laws

Testimonials


Sign up to our mailing list

Transcript for TRADITIONAL HEALER

Time Content
00:06 → 00:09

Naitwa Rama tunaangazia matibabu ya kiasli

00:10 → 00:13

kwasababu mganga ni mmoja wetu katika jamii,

00:14 → 00:17

matibabu yake hupatikana kwa urahisi na kwa bei nafuu.

00:18 → 00:23

Huwa mtu huyu yuaaguliwa mambo ya kikwetu ya kienyeji.

00:24 → 00:28

Tunamfanyia matibabu yale na Mungu akiwa sawa hupona

00:29 → 00:31

hata hospitali labda asiende.

00:32 → 00:35

Akiumwa na nyoka mtu Yule

00:36 → 00:44

na kuna mtu ambaye hospitali ni kama hapa kuna zaidi ya futi…hamsini au mia moja

00:45 → 00:52

lakini unatumia mti ambao huo ni kuuwa sumu ya hule nyoka hata awe mzima akaja akaonekana.

00:53 → 00:56

Ambao kuna mti unaitwa mwadiga,

00:57 → 01:01

mti huo ni wa maua lakini unaitwa mwadiga.

01:02 → 01:09

Huo ndio ambao wenye matibabu ya kupita kuuwa sumu ya hule mnyama ambaye anaitwa nyoka…

01:10 → 01:12

Halafu unachanganywa na miti mingine ambayo ni mchicha wa uchungu

01:16 → 01:21

na mti ambao unaitwaa..mzizi wa mchungwa…

01:22 → 01:31

sasa..kuna mti ambao unaitwa..mlozi mkubwa wenye miba ukiuona wa.. wa..waduruma

01:32 → 01:35

sisi kikwetu tunauita mtega kelele.

01:36 → 01:43

Sasa kuna mti mmoja ambao huko..hata..mnaujua mti wa kienyeji unaitwa tumbaku…

01:44 → 01:46

majani ya tumbaku.

01:46 → 01:51

Yale ni tiba ya sumu ya nyoka..ile tumbaku ikiwa hamuijui

01:52 → 01:56

inauwa nyoka kwa haraka yenyewe hata kama unataka kujua nyoka afe

01:57 → 02:02

hivyo ilivyo nyinyi mu wazungu lakini mkaenda kumuona nyoka yule mchukulieni tumbaku

02:03 → 02:06

tu halafu mumtiye mumjaribu mtamuona atakavyokuwa anakufa hata mjue kumbe

02:07 → 02:10

nyoka yuauliwa na tumbaku. Mumtiye tu humo mdomoni

02:11 → 02:15

kwasababu mnamfanyia uoga yule akikuuma lazima utafute mganga.

02:16 → 02:18

Lakini ukimfanyia utafiti uzuri

02:19 → 02:24

lakini tumbaku yako hii hata kama ni ile ya kusagwa tayari ni hao wauzaji

02:25 → 02:32

lakini umuchukulie umtiye mdomoni… muangaliye atakavyokuwa anakufa hata umuone.

02:33 → 02:36

Ni sawasawa na nini… naa mwadiga mti ambao ukiuona una mauwa lakini

02:37 → 02:40

wenyewe mti huo hukuwa kama ni mti…

02:41 → 02:48

hauna mizizi lakini ukiupanda unakuwa tayari lakini maua yake yako yangi nyekundu.